Header Ads

WEMA SEPETU AVUNJA RECODI BONGO MASTAA WAMSHANGAA HUKO INSTAGRAM.

Baada ya Mwanamuziki Diamond Platnumz Kuvunja Record ya kuwa msanii wa kwanza kufikisha wafuasi Million mbili kwenye Instagram Africa Mashariki , sasa Wema Sepetu nae amekuwa mwanamke wa kwanza kufikisha idadi hiyo ya followers million 2 kwenye mtandao wa Instagram,

No comments

Powered by Blogger.