“Dawa za kulevya kwangu zinabaki kuwa historia, sitaki hata kuzisikia
zimeniumiza sana kimawazo, zimenidhalilisha na zimepoteza mwelekeo wa
maisha yangu, sina hamu nazo tena nina hasira nazo siwezi kuzirudia kwa
sasa naangalia maisha yangu mapya katika muziki,” - Chid Benz.
Post a Comment