MZEE MAKAMBA, GWAJIMA NAAMINI ANALAANA KWA KUMTUKANA KADINALI
Mzee Makamba anadai kuwa Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana
Kardinali Pengo. Na kwa tafsiri ya kiafrika mtu mwenye laana siku zote
hufanana na mtu aliyechanganyikiwa.
Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.
Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.
Ayafanyayo huwa kituko kwa wanaomzunguka, huwafanya watu waingiwe na huruma.
Lakini naamini lengo la Mzee Makamba kumsema Askofu Gwajima ni kumuongezea uadui miongoni mwa wanajamii kwa kuanzia na watu wanaosali kwake. Lengo jingine ni kumchongea kwa Mwenyekiti Mtarajiwa wa CCM.
Post a Comment