SERIKALI SASA KUKUZA MTAJI WA TWIGA BANCORP.
Ofisi ya msajili wa hazina imesema serikali imejipanga kukuza mtaji wa
benki ya TWIGA BANCORP kwa kuisajili benki hiyo kwenye soko la hisa la
DSM – DSE pamoja kupata wawekezaji wapya.
Akizungumzia mwenendo wa benki hiyo jijini DSM, Msajili wa hazina LAWRENCE MAFURU amesema mpango huo utaiwezesha benki kutekeleza miradi mbali kuongeza kiasi cha mikopo inayotolewa katika sekta ya uchumi.
Naye Afisa mtendaji mkuu wa benki hiyo COSMAS KIMARIO amemesema idadi ya mikopo iliyotolewa na benki hadi kufikia robo ya pili ya mwaka huu imeongezeka kwa asilimia 22.23 kutoka shilingi bilioni 38 hadi shilingi bilioni 47 mwaka huu.
Akizungumzia mwenendo wa benki hiyo jijini DSM, Msajili wa hazina LAWRENCE MAFURU amesema mpango huo utaiwezesha benki kutekeleza miradi mbali kuongeza kiasi cha mikopo inayotolewa katika sekta ya uchumi.
Naye Afisa mtendaji mkuu wa benki hiyo COSMAS KIMARIO amemesema idadi ya mikopo iliyotolewa na benki hadi kufikia robo ya pili ya mwaka huu imeongezeka kwa asilimia 22.23 kutoka shilingi bilioni 38 hadi shilingi bilioni 47 mwaka huu.
Post a Comment