LULU, MIMI SINA TATIZO NA HAMISA MABETO ACHENI KUZUSHA.
Msanii wa filamu, Elizabeth Michael aka Lulu amekanusha tetesi za kwamba
ana bifu na aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Dj Majay, Hamisa Mobeto.
Lulu na Mobeto
Muigizaji huyo ambaye kwa saa anadaiwa kutoka kimapenzi na Majay, aliingia kwenye malumbano na baadhi ya mashabiki wa Mobeto katika mitandao ya kijamii wakimtuhudi kuiba bwana.
Akiongea katika kipindi cha Weekend Chart Show cha Clouds TV Ijumaa iliyopita, Lulu amesema hata tatizo na Mobeto ambaye ni mama wa mtoto mmoja aliyezaa na Majay.
Lulu na Mobeto
Muigizaji huyo ambaye kwa saa anadaiwa kutoka kimapenzi na Majay, aliingia kwenye malumbano na baadhi ya mashabiki wa Mobeto katika mitandao ya kijamii wakimtuhudi kuiba bwana.
Akiongea katika kipindi cha Weekend Chart Show cha Clouds TV Ijumaa iliyopita, Lulu amesema hata tatizo na Mobeto ambaye ni mama wa mtoto mmoja aliyezaa na Majay.
T“Sipendi sana kuongelea issue ambayo nitakuwa kama nachochea, mimi ni mtu fulani very peace, very very peace, sina tatizo naye,” alisema Lulu.
Akiongelea kama ni kweli kuna watu walikuwa wanatumwa na Mobeto ili
wamtukane alisema “Siwezi kujua kwa sababu sijafuatwa direct, lakini
sina tatizo naye, mtu akinipa kijembe namchukulia kama mtu kanipa
kijembe”
Hata hivyo, Lulu na CEO wa EFM, Dj Majay kwa sasa wapo karibu zaidi,
kwani wawili hao wamekuwa wakipost picha zao katika mitandao ya kijamii
wakiwa pamoja
Post a Comment