Header Ads

ZLATAN IBRAHIMOVIC' AREJESHA FURAHA MANCHESTAR UNITED

Ligi Kuu England iliendelea usiku wa August 19 kwa klabu ya Man United kuwakabribisha Southampton katika dimba lao la Old Trafford kucheza mchezo wao wa pili wa baada ya mchezo wao wa awali kuibuka na ushindi wa goli 3-1 dhidi ya AFC Bournemouth ugenini.

Zlatan lifunga goli la kwanza baada ya kupokea krosi maridhawa kutoka upande wa kulia na Wayne Rooney baadae tena Zlatan alifunga bao la pili kwa njia ya penati baada ya beki wa kushoto wa Man United Luke Shaw kufanyiwa madhambi na Jordy Clasie na mechi hiyo kumalizika kwa Man United kupata ushindi wa 2-0.

No comments

Powered by Blogger.