LULU, HIKI NDIO CHAMA CHANGU JAMANI...
Alipoulizwa yeye shabiki wa chama gani cha siasa?, Elizabeth Michael
‘Lulu’ alijibu hivii; "Mimi sina chama, ndiyo maana hata katika kampeni
za Uchaguzi Mkuu mwaka jana, sijaonekana kwenye jukwaa lolote. Miye
naamini kura ni siri na nilifanya hivyo ili nisifungamane na upande
wowote." Alifanya vizuri au alichemka?
Post a Comment