CRISTIANO RONALDO HUWENDA AKAWA MCHEZAJI BORA.
Shirikisho la soka barani Ulaya
limetangaza majina ya wachezaji 10 watakaowania tuzo ya mchezaji bora
Ulaya kwa msimu wa mwaka 2015/2016, majina hayo 10 yametangazwa huku
Cristiano Ronaldo akipewa nafasi ya kushinda tuzo hiyo itakayotolewa
Agosti 25 mwaka huu.
Post a Comment