Header Ads

JAMAA AINGIA NA BODABODA KWENYE MWENDO KASI ..MMMMH DAR NOUMA SANA

Bado haijafahamika vizuri nini kiliendelea mpaka wahusika wa Mabasi ya Mwendo kasi pamoja na dereva kuruhusu piki piki kuingia kwenye basi la mwendo kasi sambamba na Abiria...
Picha hii leo umekuwa ikizunguka sana mitandaoni na kila mtu kuuliza kunani?

No comments

Powered by Blogger.