Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu leo Jumatatu ya July 18,'Chid Benz' anarudi na kigongo kipya kwaajili ya mashabiki zake.
Rashidi kupitia wimbo wake huo unaokwenda kwa jina la 'Chuma' anaamua kumshirikisha kijana mahiri kutoka kwenye mikono ya Wasafi Classic 'Wcb' Raymond.
Post a Comment