Siku za karibuni kumekua na picha nyingi zmesambaa zikimwonyesha Wema
Sepetu akiwa na umbo ambalo watu wengi hawakulielewa na wengi
walikimbilia kusema kua Wema anatumia dawa za mchina kungeza makalio.
Team Wema wengi walijitokeza na kumtetea Wema kua zile picha zilikua
Edited huku wengine wakimlaumu Wema kwa hali aiyofikia.
Post a Comment