Header Ads

NEWS; WATU WATATU WAFARIKI KWA KULA MIOGO YENYE.........(SOMA ZAIDI)

Watu watatu wamefariki dunia baada ya kula mihogo inayodhaniwa kuwa na sumu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Ulrich Matei amesema jana kuwa tukio hilo juzi saa tisa mchana katika Kijiji cha Kauzeni, Manispaa ya Morogoro.

Amesema watu hao ni kati ya watano waliokula mihogo hiyo, lakini wawili walinusurika baada ya kuwahishwa Hospitali ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Mzinga kwa matibabu.

No comments

Powered by Blogger.