Header Ads

NEWS; WEMA SEPETU, NATAMANI KUONANA NA DIAMOND TUONGEE TUYAMALIZE ILA KAMA.........(SOMA ZAIDI)

Mshindi wa Miss Vodacome mwaka 2015,mwanadada mrembo Wema sepetu amekuwa ni mtu maarufu kati ya warembo walioko nchini Tanzania licha ya kuandamwa na skendo za kila aina.

 

Wema isack amesikika akiongea na watu kuwa anatamani kuonana na diamondi wala japo kwa lisaa limoja tuliongee jambo amablo lipo katikati yetu linalo pelekea tunashindwa kupeana sapoot.

"Hakuna mtu aliekuwa hajui mahausiano yetu mimi na Naseeb lakini tulitengana na kila mtu akapata nafasi ya kufanya jambo lake licha ya timu zetu kuwa bado zina sinto fahamu.Ili watu tuishi vizuri na kwaamani kwa kupata manuufaa mkubwa ni lazima watu tupeane sapoot,Mimi nilikodisha ukumbi kwaajili ya show ya Christian Bella pale 'King solomon',Lakini alipokuja naseeb nayeye akautaka ukumbi huo tenda kwa tarehe ileile niliyokuwa nayo maana msimamizi wa pale alimwambia kuwa huu ameukodisha sepetu et'aaaaaah kumbe yule mi nalipia mara mbili zaidi'.Sasa hii ukiiangalia vizuri sio njema kwasababu tunashindwa kupeana sapoo" Alisema wema.

No comments

Powered by Blogger.