Header Ads

NEWS: BASI LA NBS KUTOKA DAR KWENDA TABORA LAPATA AJALI

 Basi la NBS linalotoka Dar es salaam  kwenda Tabora  limepata ajali mbaya maeneo ya Chakwale wilayani Gairo  mkoani Morogoro.

Taarifa kutoka eneo la tukio zinaarifu kuwa watu 5 wamefariki na 27  wamejeruhiwa katika ajali hiyo.

No comments

Powered by Blogger.