NEWS; JAMIE VARDY KUTUA ARSENAL MSIMU UJAO MENER..........(SOMA ZAIDI)
Kijana wa miaka 29 Jamie Vardy
kutoka Leicister City anatarajiwa hii leo kutoa majibu iwapo atajiunga
na Club ya Arsenal kabla hajaelekea kwenye michuano ya Euro za mwaka huu
akiwa na timu ya taifa la Uingereza.Arsenal tayari wamefikia
makubaliano na Leicester na wamemwekea mezani Vardy kitita cha fedha kwa
miaka minne.
Vardy bado alikuwa anatafakari kama awaache Mbweha
kuelekea kwa washika Bunduki. Itakumbukwa Vardy aliisaidia sana
Leicister katika kutwaa taji la Ligi kuu akifunga mabao 24.
Post a Comment