Header Ads

NEWS:HOSPITAL YA MUHIMBILI DSM KUANZA KUTOA CHAKULA KWA WAGONJWA KUANZIA MWEZ........(SOMA ZAID)

Tamko kutoka wizara ya Afya imeamua kuanzisha mradi katika Hospitali taifa ya Muhimbili kwa kuanzisha mradi wa kuwasaidia wagonjwa na kuimarisha huduma zao.
Msemaji mkuu wa hospitalini hapo ameamua kufanya mradi huo kwaajili ya kusaidiana na wagonjwa ,ndugu na hasa wale wenye kipato cha chini.

"Kuanzia julai mosi,Tutaanza kutoa huduma hii kwa kuwapa wagonjwa chakula cha asubuhi mchana na usiku pasipo kuangalia ni mjonjwa na siku ngapi,hivyo tunaanza huduma hiyo kwa kuwapa chakula maalum"Alisema (Bw.Aminiel aligaesha)
Tumeshaandaa jamo hilo na halitokuwa kwa muda,Tunafanya hivyo ili kuwasaidia ndugu wa wagonjwa amabao wanapata shida ya kuja kuwaona ndugu zao kila siku na kupoteza kiasi fulani cha pesa,hivyo tutafanya hivyo kuwasaidia wale walioko mbali amabao wanajikuta wanatumia pesa nyingi kuja na wakati mwangine inafika hadi sh.10,000/= ikiwa kama nauli mbali na pesa utakazo tumia kwa kupiga chakuala cha mgonjwa.
Hivyo basi kuanzia july mosi huduma huyo itaanza.

No comments

Powered by Blogger.