Header Ads

NEWS: HIKI NDIO KILICHO MFANYA DIAMOND PLATNUMZ KUKOSA..........(SOMA ZAIDI)

Ni masikitiko yangu makubwa kuikosa Tuzo hii ya kimataifa kupitia msanii wetu pekee na Brand ya Afrika mashariki.
Bila kupoteza muda
Na hizi ni sababu zilimfanya Chibu Dangote

1) Hakuwa na kazi inayoeleweka ambayo ingemfanya aongeleke au jina lake lizunguke vichwani mwa watu

2) Kumanage wasanii kwake limekua pigo kubwa maana imemfanya aache kusonga mbele akiamini amefika na ni muda wa kusaidia wengine.

3) Kukosa baraka za mzazi mwenzake mama Tiffah kutokana na usaliti aliomfanyia mwenzake.

4) Kurise up kwa Alikiba.

5) Kuridhika na mafanikio

Hivyo Chibu ajipange upya upya ili arudi kwenye mstari.

 

No comments

Powered by Blogger.