Header Ads

NEWS: YOUNG KILLER AWANIA NAFASI YA KUWA KWENYE UON............(SOMA ZAIDI)

Hivi karibuni kulizuka tetesi kuwa huenda Young Killer akawa msanii mwingine atakayeungana na timu ya WCB.

Picha aliyoonekana akiwa na Diamond kwenye studio za Wasafi ndiyo iliyosababisha tetesi hizo. Tumemuuliza rapper huyo iwapo tetesi hizi ni za kweli.

“Ile ni picha ambayo kweli ilipigwa tulikuwa pale ofisini kwake na ni picha ambayo ilipigwa kwa maana lakini sio ya kuzungumzia sana kutokana na kwamba mipango inakuja na tunamshukuru mwenyezi Mungu akitia baraka na ikawa sawa nadhani tutazungumza sasa hadharani, lakini ni picha ambayo ilipigwa kwa maana nadhani mwenyezi Mungu akitia nguvu watanzania wataona kitu ambacho kipo,” amesema Young Killer.

No comments

Powered by Blogger.