NEW; YANGA YAMUONGEZA MKATABA MBUYU TWITE KWA MUDA WA MIA..........(SOMA ZAIDI)
Good news kwa mashabiki wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans, ikiwa
imepita siku baada ya Yanga kufanikiwa kuwasajili wachezaji wawili
golikipa Beno Kakolanya kutoka Tanzania Prisons na beki wa pembeni
Vicent Andrew kutoka Mtibwa Sugar, leo June 7 wametangaza kumuongezea
mkataba kiungo wao wa kimataifa wa Rwanda Mbuyu Twite.
Yanga wamemuongezea mkataba wa miaka miwili Mbuyu Twite, lakini wamempa barua ya kuvunja mkataba kiungo wao wa kimataifa wa Niger Issafou Boubacar, hivyo huenda kukawa na mpango wa kumuongeza staa mwingine wa kimataifa atakayerithi nafasi ya Issafou Boubacar.
Yanga wamemuongezea mkataba wa miaka miwili Mbuyu Twite, lakini wamempa barua ya kuvunja mkataba kiungo wao wa kimataifa wa Niger Issafou Boubacar, hivyo huenda kukawa na mpango wa kumuongeza staa mwingine wa kimataifa atakayerithi nafasi ya Issafou Boubacar.
Post a Comment