Header Ads

NEWS; HALI YA RAY C YAZIDI KUWA MBAYAPOLISI WAMNUSURU KUVUA NGUO MBE.........(SOMA HABARI ZAIDI)

Hali ya Kiafya ya Ray C imeleta Sinto fahamu baada ya Video inayozunguka mitandaoni ikionyesha akichukuliwa na Polisi huku akisema kuwa wanamteka....
Shuhuda wa tukio hilo ameandika haya hapa chini:

Esha Buheti
"Nashindwa hata niongee nini jamani, rayc Leo kinondoni umenitoa machozi, jamani tufanye kitu tumsaidie rayc, I mean it jamani siku zote nlikua najua anaonewa ila nlichokishuhudia leoo nimeumiaa kutoka moyoni amedhalilika mwanamke mwenzetu, jamani tufanyeje? Nlikua na @kabulaflavour kino kwa wapemba tumefata chips mara tukaskia mtu anasema me rayc nataka kuvua nguoo, nikajua utani kushuka ni rayc anasema nishikenj kuna watu wanataka kuniteka, alikua na nguvu sana watu kamshika akaanza kuongea vitu havieleweki, akaanza kutafta kisu ajichome, watu walimzuia sana walishindwa akaaanza kugaragara kwenye matope akipiga KELELE kiukweli nilijikuta nalia mara ikaja gari YA polisi ikambeba ila kwa tabu sanaa alikua akipiga kelele jamani nisaidieni msiniache kiukweli mpk rayc anaondoka na ile gari yapolisi sikujua anapelekwa wapi alikua kama mtu alopata kichaa, YARRAB TUNAMSAIDIAJE RAYC?"

No comments

Powered by Blogger.