Header Ads

KWELI SHILOLE NI 'JIKESHUPA' APATA DOGODOGO NYINGINE ........Huyu ni mdogo zaidi ya Mziwanda

Haya! haya! Tena yule mwanadada mwanamziki wa kizazi kipya 'Shilole' Amezua gumzo lingine tena huko instagram baada ya kutambulisha ki penzi chake kipya ambae naye ameonekana anaumri mdogo zaidi kuliko alivyokuwa Nuh Mziwanda.

kwa kuuskiliza vizuri nyimbo mpya ya Mtoto mdogo ya SHILOLE aliyomshirikisha Man fongo bigwa  wa singeli kwenye nyimbo hiyo imezungumzia mtoto mdogo mwenye nguvu kama za nyati...........mmmmh Shilole hii sasa ni balaa huwenda dogodogo ndio mafundi kwake.
hamadai na shilole wakiwa falagha.

No comments

Powered by Blogger.