Header Ads

RAYMOND AIZUNGUMZIA STYLE YAKE MPYA YA NYWELE

"Nimeona comments nyingi kuhusu rasta nilizoweka lakini naomba watu waelewe kwamba haikuwa style yangu na wala sina mpango wa kufuga rasta nitabaki na style yangu moja tu maana nimeona jinsi nilivyowakwaza mashabiki wangu."- Raymond

Nini maoni yako?

No comments

Powered by Blogger.