JB ATANGAZA KUSTAAFU KUIGIZA MOVIE
Msanii wa kuigiza nchini JACOB STEVEN atangaza kustafu rasmi,Kufuatia mtandao wa kijamii wa Instagram msanii huyo aliandika maneno yaliyoashiria kuwa ni kuachana na kuigiza na kugeukia uongozaji tu.
Jb aliejivunia umaarufu kwenye baadhi ya filamu zake za kucheza kama mwanaume mwenye msimamo ameyasena hayo kupitia kwenye ukurasa wake .
Chanzo: www.saluti5.com
Jb aliejivunia umaarufu kwenye baadhi ya filamu zake za kucheza kama mwanaume mwenye msimamo ameyasena hayo kupitia kwenye ukurasa wake .
Chanzo: www.saluti5.com
Post a Comment