Header Ads

JB ATANGAZA KUSTAAFU KUIGIZA MOVIE

Msanii wa kuigiza nchini JACOB STEVEN atangaza kustafu rasmi,Kufuatia mtandao wa kijamii wa Instagram msanii huyo aliandika maneno yaliyoashiria kuwa ni kuachana na kuigiza na kugeukia uongozaji tu. 

Jb aliejivunia umaarufu kwenye baadhi ya filamu zake za kucheza kama mwanaume mwenye msimamo ameyasena hayo kupitia kwenye ukurasa wake .

Chanzo: www.saluti5.com


No comments

Powered by Blogger.