Header Ads

POGBA ATOA YA MOYONI BAADA YA KUTUA MANCHESTAR UNITED

MANCHESTER UNITED imekamilisha usajili wake kwa kiungo wa kati akitokea JUVENTUS,Poul Pogba ambae ndio mchezaji wa pekee alievunja rekodi ya usajili duniani kwa sasa.

Club ya Manchestar united ndio timu iliyo mfungulia kingo huyo njia zamkujulikana zaidi kimataifa ,Baada ya kupelekwa Juventus na kuimarika zaidi katika kikosi cha kutegemewa katika timu hiyo.

Pogba ambae amekuwa nafuraha kubwa baada ya kurejea klabuni hapo na hata alipoongea kwenye mahijiano yake ya kwanza alipofika kwenye timu hiyo hakusita kuficha hisia zake.

 "Ninafuraha kurejea hapa.Siku zote imekuwa ni klabu yenye sehemu maalumu kwenye moyo wangu na ninajipanga kuitumikia vema chini ya Jose Mourinho.alisema pogba

Chanzo (www.saluti5.com) saluti5

"Nina furaha kurejea hapa. Siku zote imekuwa ni klabu yenye sehemu maalum kwenye moyo wangu na ninajipanga kuitumikia vema chini ya Jose Mourinho.

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/08/alichokisema-paul-pobga-baada-ya.html
Copyright © saluti5
"Nina furaha kurejea hapa. Siku zote imekuwa ni klabu yenye sehemu maalum kwenye moyo wangu na ninajipanga kuitumikia vema chini ya Jose Mourinho.

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/08/alichokisema-paul-pobga-baada-ya.html
Copyright © saluti5
"Nina furaha kurejea hapa. Siku zote imekuwa ni klabu yenye sehemu maalum kwenye moyo wangu na ninajipanga kuitumikia vema chini ya Jose Mourinho.

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/08/alichokisema-paul-pobga-baada-ya.html
Copyright © saluti5
"Nina furaha kurejea hapa. Siku zote imekuwa ni klabu yenye sehemu maalum kwenye moyo wangu na ninajipanga kuitumikia vema chini ya Jose Mourinho.

Soma zaidi hapa >>: http://www.saluti5.com/2016/08/alichokisema-paul-pobga-baada-ya.html
Copyright © saluti5


No comments

Powered by Blogger.