HARMONIZE! AWAJIBU WANAOSEMA ANAM "COPY" DIAMOND PLATNUMZ.........
Msanii kutoka wcb, Harmonize amewabwatukia wale wanaomtupia maneno ya kishamba kuhusiana na yeye eeti anamkopi sana Diamond Platnumz
kupitia Mtandao wa kijamii wa Instagram kwenye akaunti yake ameyaweka wazi hayo,Msanii uyo baada ya kuonekana kwenye video ya INDE ya dully sykes.
kupitia Mtandao wa kijamii wa Instagram kwenye akaunti yake ameyaweka wazi hayo,Msanii uyo baada ya kuonekana kwenye video ya INDE ya dully sykes.
Post a Comment