Header Ads

MANCHESTER UNITED YATWAA KOMBE LA FA CUP

Kuelekea kuanza kwa michuano ya ligi kuu ya England, jioni ya leo wamemenyana na mahasimu wawili kati ya MANCHESTER UNITED na LEICESTER CITY, mechi iliyokuwa na burusani ya aina yake na kudhihirishia mashabiki kuwa kocha Jose' Mourinho ataendeleza ubabe wake wa kuchukua vikombe.

MANCHESTER UNITED ilianza kutikisa vyavu kupitia kinda wake mahiri Jesse Lingard goli lililodumu mpaka mapimziko ya mchezo 45(half time) na kufuatia dakika chache kufuatia makosa ya umakini kwa Mouri Fellain mchezaji mahiri na mwenye uwezo mzuri wa kucheza na nyavu Jamie Vardy alinyanyua makwapa ya mashabiki hao wa Leicester city,Jambo lilolopelekea Mourinho kubadili mgumo na kuchezasha viungo wengi zaidi jambo lilio zaa matunda kwa mashetani wekundu kwa kupata goli zuri kutoka kwa foward wao mpya Zlatan Ibrahimovic ,aliefunga kwa kukandamiza kwa kichwa mpira wavuni.

Jumamosi ya tarehe 14/8 ligi ya EPL inaanza rasmi ambako hapo pia utaendela kuona uhondo wa timu zote za ligi hito usajili mpya na mambo mengine mengi wakati huo mchezaji na kiungo wa Ufaransa atakuwa anakamilisha usajili wake kuelekea MANCHESTER UNITED.




No comments

Powered by Blogger.