Naibu
Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi Hamad Masauni amewasimamisha
kazi watumishi wa tatu wa jeshi la Polisi kikosi cha zimamoto wa Uwanja
wa ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa kosa la kuiba mafuta ya
ndege na kuiba mizigo ya abiria hali inayohatarisha usalama wa abiria
na mali zao.
Post a Comment