Kijana mwenye miaka 20 mkazi wa kigoma amefikishwa mahakaman na kufungwa kifungo cha maisha jela baada ya kumlawiti kija wa kiume mwenye umri wa miaka 7 Tukio hilo lililotokea siku ya jumanne mida ya saa 10 jion ....Ripoi imesailiwa na kuwa kijana anastahili kifungo cha Maisha Jela....
Post a Comment