NEWS(BUNGENI) TUHUMA ZA USHEMEJI WA WAZIRI JENESTER MHANGA ZAINGI......(SOMA ZAIDI)
Kila siku
asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti
ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya
Twitter >>>@allyalmas2.
May 25
2016 tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini moja baada ya
nyingine, moja ya habari kubwa ni kutoka Gazeti la Jambo Leo lenye kichwa cha habari ‘Ushemeji wa Mhagama, Tanzanite One wamtia matatani Mbunge Millya’.
Gazeti
hilo limeeleza kuwa tuhuma za ushemeji kati ya Waziri wa Ofisi ya Waziri
Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenester Mhagama
na mmoja wa wabia wa Kampuni ya Sky Associates inayomiliki Mgodi wa
Tanzanite One zimelisukuma Bunge kumpa siku nne Mbunge wa Simanjiro
‘CHADEMA’ James Ole Millya athibitishe madai yake kwa ushahidi.
Post a Comment