NEWS:: RAIS MAGUFULI ATEUA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA 26...(SOMA ZAIDI)
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe
25 Aprili, 2016 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa 26 ya
Tanzania Bara.
Taarifa iliyotolewa leo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa kati ya Makatibu tawala hao 10 ni wapya, 2 wamebadilishiwa vituo vya kazi na 13 wamebakisha katika vituo vyao vya sasa.
Makatibu Tawala wapya walioteuliwa ni kama ifuatavyo;
Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dar es salaam
25 Aprili, 2016
Taarifa iliyotolewa leo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa kati ya Makatibu tawala hao 10 ni wapya, 2 wamebadilishiwa vituo vya kazi na 13 wamebakisha katika vituo vyao vya sasa.
Makatibu Tawala wapya walioteuliwa ni kama ifuatavyo;
- Arusha - Richard Kwitega
- Selestine Muhochi Gesimba - Geita
- Armatus C. Msole - Kagera
- Eng. Aisha Amour - Kilimanjaro
- Zuberi Mhina Samataba - Pwani
- Albert Gabriel Msovela - Shinyanga
- Dr. Angelina Mageni Lutambi - Singida
- Jumanne Abdallah Sagini - Simiyu
- Dkt. Thea Medard Ntara - Tabora
- Eng. Zena Said - Tanga
- Kigoma - Charles Amos Pallangyo (Kutoka Mkoa wa Geita)
- Morogoro - Dkt. John S. Ndunguru (Kutoka Mkoa wa Kigoma)
- Dar es salaam - Theresia Louis Mbando
- Dodoma - Rehema Hussein Madenge
- Iringa - Wamoja Ayubu Dickolagwa
- Katavi - CP Paul Chagonja
- Lindi - Ramadhan Habibu Kaswa
- Mara - Benedict Richard Ole Kuyan
- Manyara - Eliakimu Chacha Maswi
- Mbeya- Mariam Amri Mjunguja
- Mtwara - Alfred Cosmas Luanda
- Mwanza - CP. Clodwing Mathew Mtweve
- Njombe - Jackson Lesika Saitabau
- Rukwa - Symthies Emmanuel Pangisa
- Ruvuma - Hassan Mpali Bendeyeko
Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
Dar es salaam
25 Aprili, 2016
Post a Comment