DJ ALCHAMA
Pages
(Move to ...)
Home
▼
6/21/2016
NEWS: BASI LA NBS KUTOKA DAR KWENDA TABORA LAPATA AJALI
Basi la NBS linalotoka Dar es salaam kwenda Tabora limepata ajali mbaya maeneo ya Chakwale wilayani Gairo mkoani Morogoro.
Taarifa kutoka eneo la tukio zinaarifu kuwa watu 5 wamefariki na 27 wamejeruhiwa katika ajali hiyo.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment