Pages

SOMA MAGAZETI YA LEO MAY 25 KWENYE SPORT,SIASA,BUNGENI,ELIMU........(SOMA ZAIDI)

May 25 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.
IMG_20160525_044914
IMG_20160525_044930
IMG_20160525_045003
IMG_20160525_045018
IMG_20160525_045035
IMG_20160525_045051
IMG_20160525_045108
IMG_20160525_045125
IMG_20160525_045140
IMG_20160525_045208
IMG_20160525_045222
IMG_20160525_045239
IMG_20160525_045253
IMG_20160525_045309
IMG_20160525_045325
IMG_20160525_045340
IMG_20160525_045407
IMG_20160525_045425
IMG_20160525_045441
IMG_20160525_045458
IMG_20160525_045519
IMG_20160525_045545
IMG_20160525_045610
IMG_20160525_045630
IMG_20160525_045656
IMG_20160525_045753
IMG_20160525_045830

:)

NEWS(BUNGENI) TUHUMA ZA USHEMEJI WA WAZIRI JENESTER MHANGA ZAINGI......(SOMA ZAIDI)

Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@allyalmas2.
May 25 2016 tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini moja baada ya nyingine, moja ya habari kubwa ni kutoka Gazeti la Jambo Leo  lenye kichwa cha habari ‘Ushemeji wa Mhagama, Tanzanite One wamtia matatani Mbunge Millya’.
Gazeti hilo limeeleza kuwa tuhuma za ushemeji kati ya Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenester Mhagama na mmoja wa wabia wa Kampuni ya Sky Associates inayomiliki Mgodi wa Tanzanite One zimelisukuma Bunge kumpa siku nne Mbunge wa Simanjiro ‘CHADEMA’ James Ole Millya athibitishe madai yake kwa ushahidi.

5/24/2016

NEWS:RAISI SHEIN ATEUWA WAKUU WA MIKOA ZANZIBAR ......(SOMA ZAIDI)

Taarifa iliyotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar imesema walioteuliwa ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini na Magharibi ambaye anakuwa Ayoub Mohamed Mahmoud na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini, Unguja Vuai Mwinyi Mohamed.
Taarifa hiyo imesema  Wakuu wa Mikoa ambao Mikoa yao haikutajwa katika taarifa hii  wanaendelea na dhamana zao kama kawaida.
Halikadhalika Rais Shein amemteua Marina Joel Thomas kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mjini, Silima Haji Haji kuwa Mkuu wa Wilaya ya Magharibi B, Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini A anakuwa Hassan Ali Kombo, Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini B anakuwa Issa Juma Ali, Mkuu wa Wilaya ya Kati  Mashavu Sukwa Said, Mkuu wa Wilaya ya Kusini Idrissa Kitwana Mustafa na Mkuu wa Wilaya ya Chakechake Salama Mbarouk Khatib.
Aidha Wakuu wa Wilaya ambao Wilaya zao hazikutajwa katika taarifa hii  wanaendelea na dhamana zao kama kawaida.
Uteuzi wa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya umeanza leo.
Viongozi wote walioteuliwa wanatakiwa waripoti Ikulu, Mjini Unguja, siku ya Jumanne tarehe 24 Mei 2016 mchana tayari kwa kuapishwa.