Pages

10/30/2015

NEWS.PICHA 10 ZA MAGUFULI AKIWA IKULU BAADA YA KUTANGAZA KUWA RAISI PICHA ZOTE HAPA

Ni siku ambayo tayari historia imeandikwa kwenye vichwa vya Habari za Siasa Tanzania ambapo Dk. John Pombe Joseph Magufuli ametangazwa kuwa mshindi wa kiti cha Urais kwenye Uchaguzi mkuu uliofanyika October 25 2015.