Pages

BAADA YA 40:SURA YA MTOTO WA DIAMOND NA ZARI(TIFFA) NDO YAONESHWA>>PICHA ZOTE HAPA

Zimeshatimia siku 40 toka mtoto wa Diamond Platnumz na Zarinah Hassan azaliwe, anaitwa Tiffah…. ambapo siku hii kubwa ilikumbukwa na nyumbani kwa Diamond watu mbalimbali wakaalikwa kama ilivyo kwenye utaratibu

9/17/2015

P-SQUARE WANUNUA MJENGO MPYA>>PICHA>.MAELEZO YOTE HAPA

Mapacha wawili, Peter na Paul watoto wa Marehemu Chief Moses Okoye, Dunia inawafahamu kwa jina la P Square kupitia sanaa ya muziki wanaoufanya… kwenye moja ya Interview wakiwa Nigeria waliwahi kusema moja ya vitu wanavyoviogopa sana ni UMASKINI !! Hicho kinawafanya wajitume sana kwenye kazi yao

DJ FETTY WA CLOUDS ATANGAZA KUACHA KAZI >>ADAM MCHOVU ANENA YAKE >>PICHA NA MAELEZO ZAIDINNIMEKUWEKEA PIA..


Jina lake ni Fatma Hassan aka DJ Fetty, moja ya Watangazaji ambao wamepata majina makubwa sana TZ na East Africa kutokana na kazi ya Utangazaji ambapo ana mchango mkubwa pia kwenye muziki wa Bongo Fleva kama Mtangazaji wa show ya Entertainment,XXL ya Clouds FM.

9/15/2015

ASKOFU KWAJIMA AMEYAJIBU HAYA>>>Rushwa kwa Maaskofu, uongo, Dk. Slaa, mke na watoto.. Lowassa na mengine..

Siku chache baada ya aliyekuwa Kiongozi wa Chama cha CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa kutangaza kwamba ameamua kuachana na Siasa, hiyo ilikuwa siku kadhaa baada ya Dk. Slaa kutoonekana kwenye Mikutano pamoja na Vikao vya CHADEMA pamoja na Vyama vya UKAWA, stori ambazo zinamtaja yeye bado hazijaacha kuibuka.