Pages

8/30/2015

KWELI LOWASA KIBOKO YAO, HEBU CHEKI KIFAA KILICHOTUMIKA KUPIGA PICHA ANGANI HAKIJAWAHI ONEKANA BONGO...!!

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema kupitia Ukawa, Mh Edward Lowassa akiongea na wakazi wa jiji la Dar waliojitokeza katika uzinduzi wa Kampeni za Ukawa katika viwanja vya Jangwani mapema leo.Mh Lowassa amesema kipaumbele chake kimoja wapo ni Elimu huku akisisitiza kuwa kampeni zao zitakuwa ni za busara na hekima bila kutumia matusi

DR. JOHN POMBE MAGUFULI:WATENDAJI WAZEMBE NA WABADHIRIFU WAJIANDAE KUFUKUZWA KAZI

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa mjini Sumbawanga mara baada ya kumaliza kuhutubia mkutano mkubwa wa Kampeni kwenye uwanja wa Nelson Mandela

8/24/2015

BASATA YAMJIBU SHISHI BABY KUWA.......

Akiongea na East Afrika Radio Shilole alisema amejiandaa vizuri sana katika shoo ambayo anapaswa kuifanya nchini Marekani siku za karibuni, na alipoulizwa atawezaje kufanya shoo hiyo wakati akiwa amefungiwa na BASATA, Shilole alionekana kupaniki na kubadilika na kumwambia mtangazaji kuwa yeye hataki kuzungumzia suala la adhabu iliyotolewa na BASATA na kusema suala hilo anapaswa kuulizwa mwanasheria wake Albert Msando

8/23/2015

PICHA ZA JANGWANI , DIAMOND, WEMA, FA, MWASITI -Kwa CCM

Kama kawaida uzinduzi wa kampeni za CCMkuelekea uchaguzi mkuu wa Urais, Ubunge na madiwani, uzinduzi wa CCM ambao ulipambwa na uwepo pia wa makada waCCM kutoka katika tasnia ya filamu na wasanii wa bongofleva pia walikuwepo licha ya kutokana na ufinyu wa muda waliopata nafasi ya kuperform hadi sasa ni Peter Msechu, Yamoto Band na Diamond Platnumz sambamba na timu ya watu wake

8/22/2015

(NEW BONGO MOVIE) NILIJICHANGANYA

LEO NAKUKARIBISHA MOJA YA MOVIE ITAKAYO KUWA HOT TANZANIA NA KUTAMBULISHA VIPAJI VIPYA KATIKA TASNIA YA FILAMU TANZANIA